Tuesday, June 11, 2013

Lwakatare aachiwa kwa dhamana Kisutu


Mkurugenzi wa Usalama wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo(Chadema),  Wilfred Lwakatare 


Posted  Jumanne,Juni11  2013  saa 11:10 AM
Kwa ufupi
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam  imekubali kumwachia Mkurugenzi wa Usalama wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo(Chadema),  Wilfred Lwakatare kwa dhamana ya Sh10Milioni.
Kwa habari zaidi ungana nami baadaye

No comments:

Post a Comment