Wednesday, March 6, 2013

SIMBA NA NEYMAR

KUFANYA VIBAYA KWA SIMBA: MASTAA WATOA LAWAMA KWA KOCHA - UONGOZI WASEMA LIBOLO WALIJIANDAA VYEMA

Na Edo Kumwembe BAADHI ya mastaa wa kikosi cha kwanza, Simba (majina tunayo) wamesema hawana imani na mbinu za Kocha Mkuu Patrick Liewig na hilo limethibitika zaidi katika mchezo wao wa Angola. Mwishoni mwa wiki, Simba ilishambuliwa na kipigo cha mabao 4-0 kutoka  Recreativo Libolo ya Angola katika mchezo wa marudiano Ligi ya Mabingwa Afrika. Matokeo hayo yanaifanya Simba kuaga mashindano raundi ya...Read More

WAKATI SANTOS IKIWA NA HALI MBAYA LIGI YA BRAZIL - NEYMAR ASEMA ATAENDA KUCHEZA ULAYA MUDA WOWOTE ATAKAOJISIKIA

Neymar
 Neymar amesema kwamba anaweza kwenda kucheza soka barani ulaya hata kabla ya mkataba wake na Santos unaoisha baada ya kombe la dunia mwakani kuisha.  Mbrazil huyo amesema kwamba ana furaha kuwepo Santos lakini anaweza kuondoka ikiwa atajisikia yeye binafsi kwamba ni kitu sahihi kukifanya kwa muda huo.  Mpaka sasa, Neymar amekuwa akiripotiwa kwamba hatoondoka Santos mpaka kuisha kwa 2014 World Cup litakalofanyika...Read More

No comments:

Post a Comment