Wednesday, March 6, 2013

MAPATO AZAM VS YANGA


Azam FC na Yanga zavunja rekodi ya mapato, 240 Milioni zakusanywa, wengi wakosa tiketi

MECHI namba 120 ya Ligi Kuu ya Vodacom iliyochezwa jana (Februari 23 mwaka huu) kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam na kumalizika kwa Yanga kuibuka ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Azam imeingiza sh. 239,686,000.

No comments:

Post a Comment