Wednesday, March 6, 2013

MAN UTD YATUPWA NJE UEFA

 Mshambuliaji wa Real Madrid, Luka Modric, akiifungia timu yake bao la kwanza la kusawazisha dhidi ya Manchester United, katika dakika ya 66, kabla ya Christian Ronaldo, kumaliza kazi kwa kuifungia timu hiyo bao la pili na la ushindi katika dakika ya 69. 
 Nahodha wa Real Madrid, Sergio Ramos (katikati) akijifunga bao, kufuatia mpira uliopigwa na Luis Nani, na kumchanganya kipa wake, Diego Lopez, wakati wa mchhezo wa Ligi ya Mabingwa uliochezwa kwenye Uwanja wa Old Trafford, jijini Manchester, leo. 
Luis Nani, akishangilia bao baada ya beki wa Madrid kujifunga.

KENYATTA AONGOZA MATOKEO YA AWALI YA UCHAGUZI

Kenyatta atamba matokeo ya awali uchaguzi nchini Kenya

Uhuru Kenyatta, mgombea urais wa muungano wa Jubilee
Uhuru Kenyatta, mgombea urais wa muungano wa Jubilee

Na Sabina Chrispine Nabigambo
Wakati wakenya wakiendelea kusubiri kutangazwa kwa matokeo ya jumla ya uchaguzi mkuu nchini humo mara baada ya zoezi la kupiga kura kukamilika hapo jana,matokeo ya awali ya uchaguzi huo yanaonesha kuwa mgombea urais kwa tiketi ya muungano wa Jubilee, Uhuru Kenyatta anaongoza kwa asilimia 54.60% akifuatiwa na Raila Odinga wa muungano wa Cord mwenye asilimia 40.30% matokeo ambayo hata hivyo yanabadilika kadiri muda unavyozidi kusonga.

Usiku kucha matokeo ya uchaguzi huo yameendelea kukusanywa kutoka katika vituo vya kupigia kura huku karibu theluthi ya vituo vya kupigia kura vikituma matokeo majira ya asubuhi leo Jumanne.
Wapiga kura hiyo jana walisimama katika mistari kadhaa yenye umbali wa mamia ya mita wakiendelea kungoja kwa amani nje ya vituo vya kupigia kura kukamilisha zoezi hilo katika uchaguzi unaodaiwa kuwa na utata kuliko chaguzi zilizowahi kutokea nchini Kenya.
Aidha kabla ya zoezi la kupiga kura vurugu za umwagaji damu zilitokea katika eneo la Pwani mjini Mombasa ambapo polisi sita na washambuliaji sita waliuawa katika mashambulizi mawili tofauti, huku mabomu kadhaa yakilipuliwa na kumjeruhi mtu mmoja huko Mandera mpakani na Somalia.

CHAVES DEATH


Hugo Chavez death: Thousands march with coffin

Mourners took to the streets in parts of Venezuela
Thousands of people have come out onto the streets of Venezuela's capital Caracas to pay tribute to President Hugo Chavez, who died on Tuesday.
A procession accompanying Mr Chavez's coffin took more than six hours to reach the Military Academy where he will lie in state until Friday.
The government has announced seven days of mourning for the president.
Mr Chavez, a controversial figure and staunch critic of the US, was seriously ill with cancer for more than a year.
He died aged 58 on Tuesday after 14 years as president.
A self-proclaimed revolutionary, he inspired a left-wing revival across Latin America.

At the scene

Dramatic images are being broadcast on Venezuelan TV stations, as the hearse of Hugo Chavez crosses the city surrounded by a sea of red flags. People are crying and sobbing, screaming the name of the late president, many wearing red T-shirts and carrying his images.
"We carry you in our heart," said one woman sobbing on live television. "Long live Hugo Chavez," she screamed.
Foreign presidents, such as Bolivia's Evo Morales, are taking part in the procession, together with Mr Chavez's family members, Vice President Nicolas Maduro and all top government officials.
This is just the beginning of public events to mourn Mr Chavez. The funeral will be held on Friday, and even greater crowds are expected.
Latin American leaders are in Caracas to pay their respects - among them President Cristina Fernandez de Kirchner of Argentina, Jose Mujica of Uruguay and Evo Morales of Bolivia.
Ecuador, Argentina, Brazil, Bolivia, Uruguay, Chile, Cuba and the Caribbean island of Dominica have declared periods of official mourning.
Another Chavez ally, Iranian President Mahmoud Ahmadinejad, also announced a day of mourning, describing him as a "martyr".
'To the pantheon' On Wednesday morning, a priest prayed for eternal rest for Mr Chavez in a brief ceremony at the hospital where he died on Tuesday.
Officials then put the flag-draped coffin on top of a waiting hearse surrounded by crowds.
The procession began its slow 8km (five-mile) journey through the streets of Caracas, led by officials including Vice-President Nicolas Maduro and accompanied by cheering red-clad supporters.
Some shouted "Chavez to the pantheon", referring to the mausoleum he built for revolutionary leader Simon Bolivar.

YANGA

Kikosi cha Young Africans Sports Club

YANGA KUIVAA TOTO AFRICAN JUMAMOSI

Baada ya kuichapa timu ya Kagera Sugar kwa bao 1-0 katika mchezo uliopita mwishoni wa wiki, timu ya Young Africans Sports Club itashuka dimbani siku ya jumamosi kucheza na timu ya Toto Africans ya kutoka jijini Mwanza, mchezo utakaofanyika katika dimba la Uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam kuanzia majira ya saa 10 jioni.
Read more...
 
Kikosi cha Young Africans kilipokuwa kambini nchini Uturuki

YANGA YAENDELEA KUJIFUA

Kikosi cha timu ya Young Africans leo kimeendelea na mazoezi asubuhi katika uwanja wa mabatini Kijitonyama kujiandaa na mchezo wa mzunguko wa pili wa Ligi ya Vodacom dhidi ya timu ya Toto African siku ya jumamosi  Machi 09 ,2013 katika dimba la Uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam.
Read more...
Kikosi cha Young Africans kilipokuwa katika kambi ya mafunzo nchini Uturuki

YANGA YAENDELEA NA MAZOEZI

Kikosi cha timu ya Young Africans leo kimeendelea na mazoezi katika katika uwanja wa mabatini Kijitonyama kujiandaa na mchezo namba 135 wa mzunguko wa pili wa Ligi ya Vodacom dhidi ya timu ya Toto African siku ya jumamosi  Machi 09 ,2013 katika dimba la Uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam.
Read more...
Haruna Niyonzima (wa pili kutoka kushoto) mfungaji wa bao la ushindi katika mchezo wa leo dhidi ya Kagera Suagr

YANGA YAZIDI KUJIKITA KILELENI , YAICHAPA KAGERA SUGAR 1-0


Bao lililofungwa na kiungo wa kimataifa raia wa Rwanda Haruna Niyonzima dakika ya 66 ya mchezo, limeifanya timu ya Young Africans kuendelea kujikita kileleni mwa msimamo wa Ligi Kuu ya Vodacom nchini Tanzania bada ya kuichapa timu ya Kagera Sugar kwa bao 1-0 katika mchezo uliofanyika leo katika Uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam.
Read more...


















MAPATO AZAM VS YANGA


Azam FC na Yanga zavunja rekodi ya mapato, 240 Milioni zakusanywa, wengi wakosa tiketi

MECHI namba 120 ya Ligi Kuu ya Vodacom iliyochezwa jana (Februari 23 mwaka huu) kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam na kumalizika kwa Yanga kuibuka ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Azam imeingiza sh. 239,686,000.

SIMBA NA NEYMAR

KUFANYA VIBAYA KWA SIMBA: MASTAA WATOA LAWAMA KWA KOCHA - UONGOZI WASEMA LIBOLO WALIJIANDAA VYEMA

Na Edo Kumwembe BAADHI ya mastaa wa kikosi cha kwanza, Simba (majina tunayo) wamesema hawana imani na mbinu za Kocha Mkuu Patrick Liewig na hilo limethibitika zaidi katika mchezo wao wa Angola. Mwishoni mwa wiki, Simba ilishambuliwa na kipigo cha mabao 4-0 kutoka  Recreativo Libolo ya Angola katika mchezo wa marudiano Ligi ya Mabingwa Afrika. Matokeo hayo yanaifanya Simba kuaga mashindano raundi ya...Read More

WAKATI SANTOS IKIWA NA HALI MBAYA LIGI YA BRAZIL - NEYMAR ASEMA ATAENDA KUCHEZA ULAYA MUDA WOWOTE ATAKAOJISIKIA

Neymar
 Neymar amesema kwamba anaweza kwenda kucheza soka barani ulaya hata kabla ya mkataba wake na Santos unaoisha baada ya kombe la dunia mwakani kuisha.  Mbrazil huyo amesema kwamba ana furaha kuwepo Santos lakini anaweza kuondoka ikiwa atajisikia yeye binafsi kwamba ni kitu sahihi kukifanya kwa muda huo.  Mpaka sasa, Neymar amekuwa akiripotiwa kwamba hatoondoka Santos mpaka kuisha kwa 2014 World Cup litakalofanyika...Read More

MICHEZO

HATIMAYE TFF YAUFYATA: SERIKALI YAIAGIZA KUANDAA MKUTANO MKUU KUFANYA MAREKEBISHO YA KATIBA NDANI YA SIKU 40 NA KUANDAA UCHAGUZI MKUU UPYA

 Taarifa za ndani kutoka kwenye chanzo cha kuaminika ni kwamba kikao cha serikali kupitia wizara ya habari na michezo na shirikisho la soka nchini kuzungumza juu ya suala la serikali kuondoa usajili wa katiba mpya ya TFF kimeishia kwa serikali kuliagiza shirikisho hilo kuwataarifu wanachama juu ya mkutano mkuu ndani ya siku 5 zijazo, na kuandaa mkutano wa kufanya mabadiliko...Read More

CRISTIANO RONALDO ANAWEZA AMERICAN FOOTBALL - AKIRI REGGIE BUSH

Katika kusherehekea kutimiza miaka 28 ya kuzaliwa kwake siku ya jumamosi iliyopita, mchezaji wa timu ya mchezo american football Red Bull Reggie Bush alipewa ofa ya kwenda kuangalia El classico nchini Spain kati ya Real Madrid na Barcelona. Real Madrid wakashinda 2-1 kwenye uwanja wao wa nyumbani Santiago Bernebeu, lakini walishindwa kumzuia Messi asifunge goli ake la 39 kwenye La Liga....Read More