Monday, November 12, 2012

TAZAMA MATUKIO YOTE HAPA KATIKA PICHA MECHI KATI YA SIMBA NA TOTO AFRICA.

Kipa Wilbert Mweta wa Simba akijaribu kuokoa mpira kwa mguu bila mafanikio katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara leo Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam dhidi ya Toto Africans ya Mwanza, iliyoshinda 1-0.  

Mpira upo nyavuni
Mfungaji wa bao la Toto akipongezwa na wewnzake



Kocha wa Simba, Milovan Cirkovick akiangalia saa yake dakika zikiyoyoma timu yake imelala

Wachezaji wa Toto wakinywa maji

Hatari kwenye lango la Toto

Komabil Keita wa Simba akionyesha ubabe na Suleiman Kibuta wa Toto. walitaka kupigana

Okwi anateleza

Cheki jamaa alivyomkaba Sunzu

Kiemba anateleza

Okwi katika mishe

Ulinzi mkali

Jonas Mkude anatoa pasi

Hoi, kocha Milovan kushoto na wachezaji wake kulia Mkude na Shomary Kapombe

Hatari kwenye lango la Toto

Sunzu akishughulika

Mussa Said Kimbu akichuana na Kiemba anayeelekea kuangukia mpira

Okwi alipangua safu yote ya ulinzi ya Toto, lakini akashindwa kufunga

Okwi anawatoka mabeki wa Toto

Mwinyi Kazimoto anaambaaa

keita anamiliki mpira kulia

Emmanuel Swita anaosha

Refa Judith Gamba akimuinua mchezaji wa Toto 

Sunzu anataka kuingia yeye nyavuni baada ya kipa wa Toto kudaka mpira

Haruna Chanongo na Mohamed Hussein wa Toto

Chanongo akidhibitiwa

Kikosi cha Toto leo

Kikosi cha Simba leo

Kipa wa Toto, Erick Ngwengwe akidaka mpira mbele ya Okwi na Sunzu

Ngwengwe akidaka mpira mbele ya Sunzu

Ngwengwe akidaka mpira mbele ya Okwi..

No comments:

Post a Comment