Monday, November 12, 2012

SEAN PAUL APAGAWISHA KAMPALA...UGANDA!!


Sean Paul akiimba kwa hisia kali

Sean Paul akiwaimbia mashabiki
Sean Paul akiwa stejini
Umati wa mashabiki wakimshangilia Sean Paul Stejini

Flowers wa jiji la Kampala wakishow love kwa Sean Paul

Sean Paul katika mitaa ya jiji la kampala

Sean Paul akiwasili Kampala 

  Mwanamuziki kutoka Jamaica Sean Paul, weekend iliyopita, katika Viwanja vya Cricket Lugogo jijini Kampala nchini Uganda, ameacha burudani ya Historia kama wengi walivyotarajia.
Sean Paul amekua kipenzi cha mashabiki wa muziki nchini Uganda.
Mashabiki wa Sean Paul, walichukua muda wa saa tano kumsubiri Mwanamuziki huyo katika show iliyodhaminiwa na Club Beer.
Baadhi ya wanamuziki waliopanda stejini ni pamoja na Michael Ross, Young Mulo, Navio, Peter Miles, Menshan, Radio na Weasel.
Kulikuwepo na tatizo na mitambo kabla ya Sean Paul kupanda jukwaani, ingawa hapo baadaye mambo yalienda sawa.
Mara tu baada ya Sean Pauil kupanda jukwaani, zilisikika shangwe za mashabiki, nyingi zikitoka kwa wadada wa Kampala.
Mamia wamepongeza maandalizi ya Show hiyo, iliyoandaliwa na kampuni ya  Talent Africa, yake Ali Alibhai kwa ushirikiano na Kibo Media na kudhaminiwa na Club Beer.
Kibao “Always on my mind”  ndicho kilicho wapagawisha wapenzi wa nyota huyo wa muziki wa Dancehall.
Vibao vingine vilivyopigwa ni pamoja na Give it to you, watch them roll, back it up,
 

No comments:

Post a Comment